KIUNGO Frank Lampard alicheza kwa mara ya
kwanza majira haya ya joto, lakini alishindwa
kumzuia Cristiano Ronaldo kuinyanyasa Chelsea
jana.
Kabla ya mechi hiyo na Real Madrid mjini Miami,
kiungo huyo mkongwe alikosa mechi zote za
kujiandaa na msimu za klabu, Stamford Bridge
kutokana na kuwa majeruhi.
Lakini Lampard ameimarika na kuanza kazi tayari
kwa mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Hull
City, Agosti 18 baada ya kumaliza dakika 45 za
kwanza katika Fainali ya Mabingwa wa Kimataifa
wa Guinness.
Katika mechi hiyo, mabao mawili ya Ronaldo na
moja Marcelo, yalitosha kuitotesha timu ya Jose
Mourinho 3-1 dhidi ya timu yake ya zamani
ambayo kwa sasa inafundishwa na Carlo
Ancelotii.
Chelsea ilipata bao lake pekee kupitia kwa
Ramires.
Kikosi cha Real Madrid kilikuwa: Casillas,
Arbeloa, Pepe, Ramos, Marcelo, Modric, Khedira,
Isco, Ozil, Ronaldo na Benzema.
Chelsea: Cech, Ivanovic, Terry, Cahill, Cole,
Lampard, Van Ginkel, Ramires, Oscar, Hazard na
Lukaku
Wednesday, August 7, 2013
DUDU BAYA ATIWA MBARONI KWA KOSA LA KUCHOMA MOTO NYUMBA YA MSANII MWENZAKE
ANII wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudu
Baya’ ameswekwa rumande kwa kudaiwa kuchoma
nyumba ya baba wa msanii mwenzake ‘Geez
Mabovu’, Mashaka Mrisho.
Tukio hilo lilitokea Agosti 1, mwaka huu ambapo
mwenye nyumba sambamba na polisi
walimkamata Dudu Baya na mkewe Mariam kwa
madai ya kuchoma moto nyumba kwa makusudi
na kuwapeleka katika Kituo cha Polisi Oysterbay.
“Mkewe alitupia mkaa wa moto katika sofa,
likashika moto kabla majirani hawajanisaidia
kuuzima. Baada ya kuwauliza kulikoni
wakanitishia maisha ndipo nikawapeleka
polisi na kupewa RB namba OB/RB/13485/2013
na kuja kumkamata,” alisema Mashaka.
Dudu Baya alipotafutwa na mwandishi wetu,
alikiri kukamatwa na kuwekwa sero kwa saa sita
kabla ya kuwekewa dhamana na shemeji yake
aliyemtaja kwa jina la Vero.
“Vyumba vyake na vyangu haviingiliani kabisa,
tumetenganishwa na ukuta hivyo shutuma zake
hazina ukweli dhidi yetu ila naamini uchunguzi
wa polisi ndiyo utatoa majibu,” alisema Dudu
baya
Baya’ ameswekwa rumande kwa kudaiwa kuchoma
nyumba ya baba wa msanii mwenzake ‘Geez
Mabovu’, Mashaka Mrisho.
Tukio hilo lilitokea Agosti 1, mwaka huu ambapo
mwenye nyumba sambamba na polisi
walimkamata Dudu Baya na mkewe Mariam kwa
madai ya kuchoma moto nyumba kwa makusudi
na kuwapeleka katika Kituo cha Polisi Oysterbay.
“Mkewe alitupia mkaa wa moto katika sofa,
likashika moto kabla majirani hawajanisaidia
kuuzima. Baada ya kuwauliza kulikoni
wakanitishia maisha ndipo nikawapeleka
polisi na kupewa RB namba OB/RB/13485/2013
na kuja kumkamata,” alisema Mashaka.
Dudu Baya alipotafutwa na mwandishi wetu,
alikiri kukamatwa na kuwekwa sero kwa saa sita
kabla ya kuwekewa dhamana na shemeji yake
aliyemtaja kwa jina la Vero.
“Vyumba vyake na vyangu haviingiliani kabisa,
tumetenganishwa na ukuta hivyo shutuma zake
hazina ukweli dhidi yetu ila naamini uchunguzi
wa polisi ndiyo utatoa majibu,” alisema Dudu
baya
Makala: Kwanini wanasoka wa Tanzania hawatoki kimapenzi na celebrities wa kike?
ZUNGUKA kumbi zote za disko.
Hautamuona mwanasoka yoyote wa Tanzania
amemshika kiuno mwanamke maarufu (celebrity)
katika
fani yoyote maarufu kuanzia, filamu,
muziki hadi siasa. Na sio hao tu,
wanasoka wa Tanzania wanaishi
dunia tofauti na wanawake wenye
hadhi za juu (high Personalities female) Wakati
David Beckham akihangaika na Victoria Adams ,
Cristiano Ronaldo akihangaika na mwanamitindo
wa
Kirusi, Irina Shayk, hali ni tofauti kwa mwanasoka
wa Tanzania. Ni nadra
kwenda katika klabu ya usiku
(Nightclub) na kumkuta Nadir Haroub ‘Cannavaro’
akiwa katika mtoko na
Mwanamitindo Flavian Matata. Unajua
kwa nini? Baada ya kazi ni wakati wa… (Photo
credit: kikuyumoja) Kuna sababu nne kubwa.
Kwanza ni
umaskini unaowakabili. Hawapo
katika kiwango cha kushindana
kifedha na mastaa wa fani nyingine
ndani ya nchi. Wakati mwanamuziki
Diamond anaweza kuingiza sh 30 milioni kwa
shoo za mwezi mmoja,
inamchukua Mrisho Ngassa miaka miwili ya
kusaini mkataba mpya ndipo
apate fedha hizo.
Wema Sepetu hawezi kwenda kwa
Mrisho Ngassa. Atakimbilia kwa
Diamond kwa sababu anajua
wanaweza kuagiza chochote wanachojisikia katika
hoteli yoyote ya
hadhi ya nyota tano bila ya hofu. Mwanadamu
anayesubiri shilingi 30
milioni baada ya misimu miwili ana
tofauti kubwa na mwanadamu
anayesubiri shilingi 30 milioni baada
ya wiki tatu. Kwa Ulaya na
kwingineko, hali ni tofauti. Wanasoka wameingia
katika soko la ushindani
wa kimaisha na wasanii na mastaa
wengine kutokana na mapato
makubwa wanayotapata ndani ya fani
zao, na katika matangazo ya biashara. David
Beckham, Kanye West na Tom Cruise wote
wanaweza kununua nyumba katika mtaa mmoja
wa
Beverly Hills, ni wazi kwamba wote
wapo katika nafasi sawa ya kutoka
kimapenzi na Kim Kardashian bila ya kujali kama
Kanye West amemuwahi. Lakini pia sababu ya pili
ya msingi
inayowanyima fursa wanasoka wetu
ni makuzi waliyopitia ambayo
yamewanyima fursa katika elimu na
tabia ya kujiamini katika maisha yao.
Wengi wao wamekosa uwezo wa kujiamini,
kujitawala kifikra na
kujiamulia mambo kwa uhuru.
Utaongea nini mezani na mrembo
anayejiamini huku akinywa Savannah
yake taratibu.
Wakati pesa likiwa tatizo la kimsingi, bado upeo
wa fikra kichwani ni tatizo
jingine linalokusumbua ukikaa na
mrembo aliyemaliza chuo kikuu au
IFM miaka sita iliyopita. Unahitaji kuwa
zaidi ya Jerry Tegete. Zaidi ya mabao,
una nini mezani. Pesa au elimu? Zaidi ya yote
haya. Wanasoka wa
Tanzania wametoka Ghetto. Ni
wachache waliotokea katika familia
zinazoeleweka kwa sababu mchezo
wa soka bado unabakia na taswira
kuwa ni mchezo wa kihuni na ni watu wa hali ya
chini.
Zao linatoka katika picha hii iliyopo
kuhusu soka, lazima litamtoa
mwanasoka ambaye kichwa chake
kwa asilimia nyingi kinafikiria uhuni
na kushindwa kujiamini katika fursa zilizopo.
Mwanasoka aliyetoka katika
familia isiyoeleweka hawezi kujipa
hadhi sawa na ya kujiamini mbele ya
Mwanamitindo anayefanya kazi zake
London, Paris, Milan na kwingineko na
ambaye amelelewa katika familia njema. Mpaka
wanasoka wa Tanzania
watakapoanza kutoka nje ya mipaka
yao na kuelimika nadhani watajipa
nafasi nzuri ya kuanza kutoka
kimapenzi na celebrities wa kike. Ni
kwa sababu wakiwa nje watakuwa kama wako
darasani huku
wakielimika na kujiongezea uwezo
mkubwa wa kujiamini. Nje, wanasoka
wanafundishwa jinsi
ya kujiamini, jinsi ya kuongea, jinsi ya
kujitawala na jinsi ya kujipenda. Na
zaidi ya yote watalalia paundi nyingi
na Dola ambazo zitajikuta zikiongea
zaidi kuliko midomo yao!
Hautamuona mwanasoka yoyote wa Tanzania
amemshika kiuno mwanamke maarufu (celebrity)
katika
fani yoyote maarufu kuanzia, filamu,
muziki hadi siasa. Na sio hao tu,
wanasoka wa Tanzania wanaishi
dunia tofauti na wanawake wenye
hadhi za juu (high Personalities female) Wakati
David Beckham akihangaika na Victoria Adams ,
Cristiano Ronaldo akihangaika na mwanamitindo
wa
Kirusi, Irina Shayk, hali ni tofauti kwa mwanasoka
wa Tanzania. Ni nadra
kwenda katika klabu ya usiku
(Nightclub) na kumkuta Nadir Haroub ‘Cannavaro’
akiwa katika mtoko na
Mwanamitindo Flavian Matata. Unajua
kwa nini? Baada ya kazi ni wakati wa… (Photo
credit: kikuyumoja) Kuna sababu nne kubwa.
Kwanza ni
umaskini unaowakabili. Hawapo
katika kiwango cha kushindana
kifedha na mastaa wa fani nyingine
ndani ya nchi. Wakati mwanamuziki
Diamond anaweza kuingiza sh 30 milioni kwa
shoo za mwezi mmoja,
inamchukua Mrisho Ngassa miaka miwili ya
kusaini mkataba mpya ndipo
apate fedha hizo.
Wema Sepetu hawezi kwenda kwa
Mrisho Ngassa. Atakimbilia kwa
Diamond kwa sababu anajua
wanaweza kuagiza chochote wanachojisikia katika
hoteli yoyote ya
hadhi ya nyota tano bila ya hofu. Mwanadamu
anayesubiri shilingi 30
milioni baada ya misimu miwili ana
tofauti kubwa na mwanadamu
anayesubiri shilingi 30 milioni baada
ya wiki tatu. Kwa Ulaya na
kwingineko, hali ni tofauti. Wanasoka wameingia
katika soko la ushindani
wa kimaisha na wasanii na mastaa
wengine kutokana na mapato
makubwa wanayotapata ndani ya fani
zao, na katika matangazo ya biashara. David
Beckham, Kanye West na Tom Cruise wote
wanaweza kununua nyumba katika mtaa mmoja
wa
Beverly Hills, ni wazi kwamba wote
wapo katika nafasi sawa ya kutoka
kimapenzi na Kim Kardashian bila ya kujali kama
Kanye West amemuwahi. Lakini pia sababu ya pili
ya msingi
inayowanyima fursa wanasoka wetu
ni makuzi waliyopitia ambayo
yamewanyima fursa katika elimu na
tabia ya kujiamini katika maisha yao.
Wengi wao wamekosa uwezo wa kujiamini,
kujitawala kifikra na
kujiamulia mambo kwa uhuru.
Utaongea nini mezani na mrembo
anayejiamini huku akinywa Savannah
yake taratibu.
Wakati pesa likiwa tatizo la kimsingi, bado upeo
wa fikra kichwani ni tatizo
jingine linalokusumbua ukikaa na
mrembo aliyemaliza chuo kikuu au
IFM miaka sita iliyopita. Unahitaji kuwa
zaidi ya Jerry Tegete. Zaidi ya mabao,
una nini mezani. Pesa au elimu? Zaidi ya yote
haya. Wanasoka wa
Tanzania wametoka Ghetto. Ni
wachache waliotokea katika familia
zinazoeleweka kwa sababu mchezo
wa soka bado unabakia na taswira
kuwa ni mchezo wa kihuni na ni watu wa hali ya
chini.
Zao linatoka katika picha hii iliyopo
kuhusu soka, lazima litamtoa
mwanasoka ambaye kichwa chake
kwa asilimia nyingi kinafikiria uhuni
na kushindwa kujiamini katika fursa zilizopo.
Mwanasoka aliyetoka katika
familia isiyoeleweka hawezi kujipa
hadhi sawa na ya kujiamini mbele ya
Mwanamitindo anayefanya kazi zake
London, Paris, Milan na kwingineko na
ambaye amelelewa katika familia njema. Mpaka
wanasoka wa Tanzania
watakapoanza kutoka nje ya mipaka
yao na kuelimika nadhani watajipa
nafasi nzuri ya kuanza kutoka
kimapenzi na celebrities wa kike. Ni
kwa sababu wakiwa nje watakuwa kama wako
darasani huku
wakielimika na kujiongezea uwezo
mkubwa wa kujiamini. Nje, wanasoka
wanafundishwa jinsi
ya kujiamini, jinsi ya kuongea, jinsi ya
kujitawala na jinsi ya kujipenda. Na
zaidi ya yote watalalia paundi nyingi
na Dola ambazo zitajikuta zikiongea
zaidi kuliko midomo yao!
Makala: Kwanini wanasoka wa Tanzania hawatoki kimapenzi na celebrities wa kike?
ZUNGUKA kumbi zote za disko.
Hautamuona mwanasoka yoyote wa Tanzania
amemshika kiuno mwanamke maarufu (celebrity)
katika
fani yoyote maarufu kuanzia, filamu,
muziki hadi siasa. Na sio hao tu,
wanasoka wa Tanzania wanaishi
dunia tofauti na wanawake wenye
hadhi za juu (high Personalities female) Wakati
David Beckham akihangaika na Victoria Adams ,
Cristiano Ronaldo akihangaika na mwanamitindo
wa
Kirusi, Irina Shayk, hali ni tofauti kwa mwanasoka
wa Tanzania. Ni nadra
kwenda katika klabu ya usiku
(Nightclub) na kumkuta Nadir Haroub ‘Cannavaro’
akiwa katika mtoko na
Mwanamitindo Flavian Matata. Unajua
kwa nini? Baada ya kazi ni wakati wa… (Photo
credit: kikuyumoja) Kuna sababu nne kubwa.
Kwanza ni
umaskini unaowakabili. Hawapo
katika kiwango cha kushindana
kifedha na mastaa wa fani nyingine
ndani ya nchi. Wakati mwanamuziki
Diamond anaweza kuingiza sh 30 milioni kwa
shoo za mwezi mmoja,
inamchukua Mrisho Ngassa miaka miwili ya
kusaini mkataba mpya ndipo
apate fedha hizo.
Wema Sepetu hawezi kwenda kwa
Mrisho Ngassa. Atakimbilia kwa
Diamond kwa sababu anajua
wanaweza kuagiza chochote wanachojisikia katika
hoteli yoyote ya
hadhi ya nyota tano bila ya hofu. Mwanadamu
anayesubiri shilingi 30
milioni baada ya misimu miwili ana
tofauti kubwa na mwanadamu
anayesubiri shilingi 30 milioni baada
ya wiki tatu. Kwa Ulaya na
kwingineko, hali ni tofauti. Wanasoka wameingia
katika soko la ushindani
wa kimaisha na wasanii na mastaa
wengine kutokana na mapato
makubwa wanayotapata ndani ya fani
zao, na katika matangazo ya biashara. David
Beckham, Kanye West na Tom Cruise wote
wanaweza kununua nyumba katika mtaa mmoja
wa
Beverly Hills, ni wazi kwamba wote
wapo katika nafasi sawa ya kutoka
kimapenzi na Kim Kardashian bila ya kujali kama
Kanye West amemuwahi. Lakini pia sababu ya pili
ya msingi
inayowanyima fursa wanasoka wetu
ni makuzi waliyopitia ambayo
yamewanyima fursa katika elimu na
tabia ya kujiamini katika maisha yao.
Wengi wao wamekosa uwezo wa kujiamini,
kujitawala kifikra na
kujiamulia mambo kwa uhuru.
Utaongea nini mezani na mrembo
anayejiamini huku akinywa Savannah
yake taratibu.
Wakati pesa likiwa tatizo la kimsingi, bado upeo
wa fikra kichwani ni tatizo
jingine linalokusumbua ukikaa na
mrembo aliyemaliza chuo kikuu au
IFM miaka sita iliyopita. Unahitaji kuwa
zaidi ya Jerry Tegete. Zaidi ya mabao,
una nini mezani. Pesa au elimu? Zaidi ya yote
haya. Wanasoka wa
Tanzania wametoka Ghetto. Ni
wachache waliotokea katika familia
zinazoeleweka kwa sababu mchezo
wa soka bado unabakia na taswira
kuwa ni mchezo wa kihuni na ni watu wa hali ya
chini.
Zao linatoka katika picha hii iliyopo
kuhusu soka, lazima litamtoa
mwanasoka ambaye kichwa chake
kwa asilimia nyingi kinafikiria uhuni
na kushindwa kujiamini katika fursa zilizopo.
Mwanasoka aliyetoka katika
familia isiyoeleweka hawezi kujipa
hadhi sawa na ya kujiamini mbele ya
Mwanamitindo anayefanya kazi zake
London, Paris, Milan na kwingineko na
ambaye amelelewa katika familia njema. Mpaka
wanasoka wa Tanzania
watakapoanza kutoka nje ya mipaka
yao na kuelimika nadhani watajipa
nafasi nzuri ya kuanza kutoka
kimapenzi na celebrities wa kike. Ni
kwa sababu wakiwa nje watakuwa kama wako
darasani huku
wakielimika na kujiongezea uwezo
mkubwa wa kujiamini. Nje, wanasoka
wanafundishwa jinsi
ya kujiamini, jinsi ya kuongea, jinsi ya
kujitawala na jinsi ya kujipenda. Na
zaidi ya yote watalalia paundi nyingi
na Dola ambazo zitajikuta zikiongea
zaidi kuliko midomo yao!
Hautamuona mwanasoka yoyote wa Tanzania
amemshika kiuno mwanamke maarufu (celebrity)
katika
fani yoyote maarufu kuanzia, filamu,
muziki hadi siasa. Na sio hao tu,
wanasoka wa Tanzania wanaishi
dunia tofauti na wanawake wenye
hadhi za juu (high Personalities female) Wakati
David Beckham akihangaika na Victoria Adams ,
Cristiano Ronaldo akihangaika na mwanamitindo
wa
Kirusi, Irina Shayk, hali ni tofauti kwa mwanasoka
wa Tanzania. Ni nadra
kwenda katika klabu ya usiku
(Nightclub) na kumkuta Nadir Haroub ‘Cannavaro’
akiwa katika mtoko na
Mwanamitindo Flavian Matata. Unajua
kwa nini? Baada ya kazi ni wakati wa… (Photo
credit: kikuyumoja) Kuna sababu nne kubwa.
Kwanza ni
umaskini unaowakabili. Hawapo
katika kiwango cha kushindana
kifedha na mastaa wa fani nyingine
ndani ya nchi. Wakati mwanamuziki
Diamond anaweza kuingiza sh 30 milioni kwa
shoo za mwezi mmoja,
inamchukua Mrisho Ngassa miaka miwili ya
kusaini mkataba mpya ndipo
apate fedha hizo.
Wema Sepetu hawezi kwenda kwa
Mrisho Ngassa. Atakimbilia kwa
Diamond kwa sababu anajua
wanaweza kuagiza chochote wanachojisikia katika
hoteli yoyote ya
hadhi ya nyota tano bila ya hofu. Mwanadamu
anayesubiri shilingi 30
milioni baada ya misimu miwili ana
tofauti kubwa na mwanadamu
anayesubiri shilingi 30 milioni baada
ya wiki tatu. Kwa Ulaya na
kwingineko, hali ni tofauti. Wanasoka wameingia
katika soko la ushindani
wa kimaisha na wasanii na mastaa
wengine kutokana na mapato
makubwa wanayotapata ndani ya fani
zao, na katika matangazo ya biashara. David
Beckham, Kanye West na Tom Cruise wote
wanaweza kununua nyumba katika mtaa mmoja
wa
Beverly Hills, ni wazi kwamba wote
wapo katika nafasi sawa ya kutoka
kimapenzi na Kim Kardashian bila ya kujali kama
Kanye West amemuwahi. Lakini pia sababu ya pili
ya msingi
inayowanyima fursa wanasoka wetu
ni makuzi waliyopitia ambayo
yamewanyima fursa katika elimu na
tabia ya kujiamini katika maisha yao.
Wengi wao wamekosa uwezo wa kujiamini,
kujitawala kifikra na
kujiamulia mambo kwa uhuru.
Utaongea nini mezani na mrembo
anayejiamini huku akinywa Savannah
yake taratibu.
Wakati pesa likiwa tatizo la kimsingi, bado upeo
wa fikra kichwani ni tatizo
jingine linalokusumbua ukikaa na
mrembo aliyemaliza chuo kikuu au
IFM miaka sita iliyopita. Unahitaji kuwa
zaidi ya Jerry Tegete. Zaidi ya mabao,
una nini mezani. Pesa au elimu? Zaidi ya yote
haya. Wanasoka wa
Tanzania wametoka Ghetto. Ni
wachache waliotokea katika familia
zinazoeleweka kwa sababu mchezo
wa soka bado unabakia na taswira
kuwa ni mchezo wa kihuni na ni watu wa hali ya
chini.
Zao linatoka katika picha hii iliyopo
kuhusu soka, lazima litamtoa
mwanasoka ambaye kichwa chake
kwa asilimia nyingi kinafikiria uhuni
na kushindwa kujiamini katika fursa zilizopo.
Mwanasoka aliyetoka katika
familia isiyoeleweka hawezi kujipa
hadhi sawa na ya kujiamini mbele ya
Mwanamitindo anayefanya kazi zake
London, Paris, Milan na kwingineko na
ambaye amelelewa katika familia njema. Mpaka
wanasoka wa Tanzania
watakapoanza kutoka nje ya mipaka
yao na kuelimika nadhani watajipa
nafasi nzuri ya kuanza kutoka
kimapenzi na celebrities wa kike. Ni
kwa sababu wakiwa nje watakuwa kama wako
darasani huku
wakielimika na kujiongezea uwezo
mkubwa wa kujiamini. Nje, wanasoka
wanafundishwa jinsi
ya kujiamini, jinsi ya kuongea, jinsi ya
kujitawala na jinsi ya kujipenda. Na
zaidi ya yote watalalia paundi nyingi
na Dola ambazo zitajikuta zikiongea
zaidi kuliko midomo yao!
Aliye mpiga Dr Ulimboka afutiwa kesi
MKURUGENZI wa Mashitaka nchini (DPP), Dk.
Eliezer Feleshi, amefuta kesi ya kuteka na kujaribu
kumuua Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari
nchini, Dk. Steven Ulimboka, iliyokuwa ikimkabili
raia wa Kenya, Joshua Mulundi, katika Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Hatua hiyo imeelezwa kuwa ni baada ya DPP
kuona hana haja ya kuendelea kumshitaki kwa
makosa hayo ambayo yalikuwa hayana dhamana.
Hati hiyo ya DPP iliwasilishwa chini ya kifungu
cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya
Jinai ya mwaka 2002 kwa niaba yake na Wakili
Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, jana
mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema.
Kweka aliiambia mahakama kuwa kesi hiyo ilikuja
kwa ajili ya kutajwa lakini upande wa Jamhuri
hauna nia tena ya kuendelea kumshitaki Mulundi
kwa kesi hiyo.
Hakimu Lema alikubaliana na hoja hiyo na
akamfutia kesi hiyo Mulundi ambaye yupo
gerezani tangu Julai 13, mwaka jana.
Hata hivyo muda mfupi baada ya Hakimu Lema
kumfutia kesi hiyo Mulundi, askari kanzu
walimkamata tena na kumfikisha kwa Hakimu
Mkazi, Alocye Katemana na kisha Wakili Kweka
akaiambia mahakama kuwa upande wa Jamhuri
umemfungulia kesi mpya ambayo itakuwa na
shitaka moja tu.
Mbele ya Hakimu Katema, wakili huyo alidai kuwa
Julai 3, mwaka jana, Mulundi katika Kituo cha
Polisi Oystebay alitoa taarifa za uongo kwa ofisa
wa polisi kuwa yeye na wenzake walikodiwa
kwenda kumteka na kumjeruhi Dk. Ulimboka,
jambo ambalo si kweli.
Alidai kosa hilo ni kinyume cha kifungu cha 122
cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002
na kuongeza kuwa upelelezi wa kesi hiyo mpya
umekamilika.
Wakili Kweka alidai licha ya kosa hilo kuwa na
dhamana kwa mujibu wa sheria, lakini upande wa
Jamhuri unaomba Mulundi asipewe dhamana kwa
ajili ya usalama wake.
Hakimu Katemana aliiahirisha kesi hiyo kwa
muda na kisha kuutaka upande wa Jamhuri uende
ukalete kwa maandishi hati ya kumfungia
dhamana mshitakiwa huyo.
Hata hivyo mshitakiwa huyo alikanusha shitaka
hilo na akaomba apewe dhamana kwani alikuwa
na wadhamini. Pia alidai amesota muda mrefu
gerezani bila kosa.
“Ninajua wanataka kunifungia dhamana makusudi
ili waweze kunyamazisha Bunge na umma
usiendelee kupiga kelele kuhusu tukio la kupigwa
na kuteswa kwa Dk. Ulimboka na kwa taarifa yenu
mkinipeleka tena gerezani naenda kuanza mgomo
…nimechoka kuonewa,” alidai Mulundi.
Hata hivyo kesi hiyo iliporudi tena mchana,
Wakili Kweka hakuweza kuja na hati ya kuzuia
dhamana, hali iliyosababisha Hakimu Katemana
kutoa masharti ya dhamana kwa mshitakiwa
huyo.
Hata hivyo mshitakiwa huyo jana alishindwa
kutimiza masharti hayo na Hakimu Katemana
aliahirisha kesi hiyo hadi Agosti 20, mwaka huu.
Katika kesi hiyo awali, Wakili wa Serikali, Ladslaus
Komanya, mbele ya Hakimu Agnes Mchome,
alidai kuwa Mulundi Juni 26, mwaka jana, akiwa
eneo la Leaders Club alimteka Dk. Ulimboka.
Katika shtaka la pili, Komanya alidai kuwa Juni
26, mwaka huu, akiwa katika eneo la Msitu wa
Mabwepande, Tegeta, Dar es Salaam, kinyume cha
sheria, mshtakiwa huyo alijaribu kumsababishia
kifo Dk. Ulimboka.
Eliezer Feleshi, amefuta kesi ya kuteka na kujaribu
kumuua Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari
nchini, Dk. Steven Ulimboka, iliyokuwa ikimkabili
raia wa Kenya, Joshua Mulundi, katika Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Hatua hiyo imeelezwa kuwa ni baada ya DPP
kuona hana haja ya kuendelea kumshitaki kwa
makosa hayo ambayo yalikuwa hayana dhamana.
Hati hiyo ya DPP iliwasilishwa chini ya kifungu
cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya
Jinai ya mwaka 2002 kwa niaba yake na Wakili
Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, jana
mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema.
Kweka aliiambia mahakama kuwa kesi hiyo ilikuja
kwa ajili ya kutajwa lakini upande wa Jamhuri
hauna nia tena ya kuendelea kumshitaki Mulundi
kwa kesi hiyo.
Hakimu Lema alikubaliana na hoja hiyo na
akamfutia kesi hiyo Mulundi ambaye yupo
gerezani tangu Julai 13, mwaka jana.
Hata hivyo muda mfupi baada ya Hakimu Lema
kumfutia kesi hiyo Mulundi, askari kanzu
walimkamata tena na kumfikisha kwa Hakimu
Mkazi, Alocye Katemana na kisha Wakili Kweka
akaiambia mahakama kuwa upande wa Jamhuri
umemfungulia kesi mpya ambayo itakuwa na
shitaka moja tu.
Mbele ya Hakimu Katema, wakili huyo alidai kuwa
Julai 3, mwaka jana, Mulundi katika Kituo cha
Polisi Oystebay alitoa taarifa za uongo kwa ofisa
wa polisi kuwa yeye na wenzake walikodiwa
kwenda kumteka na kumjeruhi Dk. Ulimboka,
jambo ambalo si kweli.
Alidai kosa hilo ni kinyume cha kifungu cha 122
cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002
na kuongeza kuwa upelelezi wa kesi hiyo mpya
umekamilika.
Wakili Kweka alidai licha ya kosa hilo kuwa na
dhamana kwa mujibu wa sheria, lakini upande wa
Jamhuri unaomba Mulundi asipewe dhamana kwa
ajili ya usalama wake.
Hakimu Katemana aliiahirisha kesi hiyo kwa
muda na kisha kuutaka upande wa Jamhuri uende
ukalete kwa maandishi hati ya kumfungia
dhamana mshitakiwa huyo.
Hata hivyo mshitakiwa huyo alikanusha shitaka
hilo na akaomba apewe dhamana kwani alikuwa
na wadhamini. Pia alidai amesota muda mrefu
gerezani bila kosa.
“Ninajua wanataka kunifungia dhamana makusudi
ili waweze kunyamazisha Bunge na umma
usiendelee kupiga kelele kuhusu tukio la kupigwa
na kuteswa kwa Dk. Ulimboka na kwa taarifa yenu
mkinipeleka tena gerezani naenda kuanza mgomo
…nimechoka kuonewa,” alidai Mulundi.
Hata hivyo kesi hiyo iliporudi tena mchana,
Wakili Kweka hakuweza kuja na hati ya kuzuia
dhamana, hali iliyosababisha Hakimu Katemana
kutoa masharti ya dhamana kwa mshitakiwa
huyo.
Hata hivyo mshitakiwa huyo jana alishindwa
kutimiza masharti hayo na Hakimu Katemana
aliahirisha kesi hiyo hadi Agosti 20, mwaka huu.
Katika kesi hiyo awali, Wakili wa Serikali, Ladslaus
Komanya, mbele ya Hakimu Agnes Mchome,
alidai kuwa Mulundi Juni 26, mwaka jana, akiwa
eneo la Leaders Club alimteka Dk. Ulimboka.
Katika shtaka la pili, Komanya alidai kuwa Juni
26, mwaka huu, akiwa katika eneo la Msitu wa
Mabwepande, Tegeta, Dar es Salaam, kinyume cha
sheria, mshtakiwa huyo alijaribu kumsababishia
kifo Dk. Ulimboka.
Mbunge Hamis Kigwangalla hatompa kurasin yake Lowassa 2015
Mbunge wa Nzega Hamis Kigwangalla amesema
hawezi kumpa kura yake Waziri Mkuu wa zamani
na Mbunge wa Monduli Mheshimiwa Edward
Lowassa endapo jina lake litajitokeza kama
mmoja ya wagombea urais, ni kauli ya
Kigwangalla akijibu swali aliloulizwa na
Mtangazaji Fina Mango katika kipindi cha
Makutano kuhusu vuguvugu la urais 2015
linaloendelea ndani ya CCM juu ya mgombea
urais ambapo Edward Lowassa ni kati ya
wanaotajwa sana kama wagombea hasa katika
mitandao ya kijamii.
“Sitompa kura Mheshimiwa Edward Lowassa kwa
sababu za msingi tu, kwamba ninakipenda chama
changu na nina hakika chama changu kikija na
mgombea kwenye uchaguzi mkuu 2015 ambaye
ana historia ya kuhusishwa na mambo machafu
kama yale ya Richmond, Dowans ambayo
unayasema, hapa tunaweza kupata tabu sana
kuomba kura kwa wananchi, lakini pia tutakuwa
tumewapa hoja wapinzani wetu ya kusema tunalea
ufisadi, tunaubembeleza ufisadi kwa mikono
miwili’ Kigwangalla
Kwenye sentensi nyingine Kigwangalla amesema
Tanzania aihitaji rais asiyeweza kusimamia ukweli
ambapo kuhusu ishu ya dowans amesema haoni
tatizo la mitambo hiyo isipokuwa uamuzi
uliotumika katika upatikanaji wake.
Kwenye hii interview, Kigwangalla alitangaza nia
ya kugombea urais mwaka 2025 na kusema 2015
anaona bado ni mapema kwake kwani anaamini
watanzania bado hawajamjua Hamis Kigwangalla
ni mtu wa aina gani.
hawezi kumpa kura yake Waziri Mkuu wa zamani
na Mbunge wa Monduli Mheshimiwa Edward
Lowassa endapo jina lake litajitokeza kama
mmoja ya wagombea urais, ni kauli ya
Kigwangalla akijibu swali aliloulizwa na
Mtangazaji Fina Mango katika kipindi cha
Makutano kuhusu vuguvugu la urais 2015
linaloendelea ndani ya CCM juu ya mgombea
urais ambapo Edward Lowassa ni kati ya
wanaotajwa sana kama wagombea hasa katika
mitandao ya kijamii.
“Sitompa kura Mheshimiwa Edward Lowassa kwa
sababu za msingi tu, kwamba ninakipenda chama
changu na nina hakika chama changu kikija na
mgombea kwenye uchaguzi mkuu 2015 ambaye
ana historia ya kuhusishwa na mambo machafu
kama yale ya Richmond, Dowans ambayo
unayasema, hapa tunaweza kupata tabu sana
kuomba kura kwa wananchi, lakini pia tutakuwa
tumewapa hoja wapinzani wetu ya kusema tunalea
ufisadi, tunaubembeleza ufisadi kwa mikono
miwili’ Kigwangalla
Kwenye sentensi nyingine Kigwangalla amesema
Tanzania aihitaji rais asiyeweza kusimamia ukweli
ambapo kuhusu ishu ya dowans amesema haoni
tatizo la mitambo hiyo isipokuwa uamuzi
uliotumika katika upatikanaji wake.
Kwenye hii interview, Kigwangalla alitangaza nia
ya kugombea urais mwaka 2025 na kusema 2015
anaona bado ni mapema kwake kwani anaamini
watanzania bado hawajamjua Hamis Kigwangalla
ni mtu wa aina gani.
Mchungaji Brazil awadanganya waumini wake uume wake una maziwa
Valdeci Sobrino Picanto ni mchungaji wa Brazil
ambaye mwaka huu alikamatwa kutokana na
kuwadanganya waumini wake kuwa uume wake
una maziwa ya baraka na hivyo kuwataka
waunyonye kupata baraka hizo.
Mchungaji huyo aliwadanganya waumini wake
kuwa roho mtakatifu alikuwa anaingia kwenye
uume wake na kutoka kwa njia ya maziwa yenye
upako.
Kwa mujibu wa mmoja wa waumini wa kanisa
lake, mchungaji huyo alikuwa akiwahuburia kuwa
Mungu angeingia kwa watu kupitia midomo yao.
“Alikuwa akitupeleka nyuma ya kanisa na
kutuambia tumnyonye mpaka pale Roho
Mtakatifu atakapotoka kwa njia ya
‘ejaculation’ (kufika kileleni).
Mchungaji huyo ambaye yupo jela alidai kuwa na
mpango wa kuwapa maziwa hayo ya baraka
wafungwa wenzie.
ambaye mwaka huu alikamatwa kutokana na
kuwadanganya waumini wake kuwa uume wake
una maziwa ya baraka na hivyo kuwataka
waunyonye kupata baraka hizo.
Mchungaji huyo aliwadanganya waumini wake
kuwa roho mtakatifu alikuwa anaingia kwenye
uume wake na kutoka kwa njia ya maziwa yenye
upako.
Kwa mujibu wa mmoja wa waumini wa kanisa
lake, mchungaji huyo alikuwa akiwahuburia kuwa
Mungu angeingia kwa watu kupitia midomo yao.
“Alikuwa akitupeleka nyuma ya kanisa na
kutuambia tumnyonye mpaka pale Roho
Mtakatifu atakapotoka kwa njia ya
‘ejaculation’ (kufika kileleni).
Mchungaji huyo ambaye yupo jela alidai kuwa na
mpango wa kuwapa maziwa hayo ya baraka
wafungwa wenzie.
Wakala wa mchezaji Shomari Kapombe afunguka ukweli wote kuhusu maendeleo ya mchezaji huyo
Majibu kwa
maswali yoyote kuhusu suala la mchezaji
Shomari Kapombe aliye chini ya mwongozo
wangu. Nimeamua nifanye hivi baada ya kuona
magazeti ya Tanzania yakipotosha mambo
mbalimbali kuhusu kijana huyu, mimi mwenyewe
na nini mipango yake. Pia naelewa waTanzania
wanashauku ya kujua mchezaji anaendelea vipi.
Ni muhimu muelewe kwamba, kama siwezi kujibu
swali ni kwasababu aidha inabidi niwe
nimeshawataarifu Simba kwanza (kama wamiliki
wa mchezaji) au ni kwamba tu siwezi kujibu hilo
swali, na ikiwa hivyo nitatoa sababu.
Naomba pia muelewe kwamba mimi nimeishi
huku miaka mingi (Uholanzi na Uingereza),
nimecheza mpira na ninaelewa mahitaji yake,
kwahiyo nimejipanga vizuri sana kumweka
mchezaji yoyote yule katika mazingira mazuri ili
afanikiwe. Ninafanya kazi na watu wanaojua kazi
zao. Ninafanya yote haya nikiwa na ufahamu wa
vikwazo nilivyopitia mimi kutokana na kutokuwa
na mwongozo mzuri na kushindwa kufanikiwa
kama mcheza mpira katika ngazi za juu.
Ninatumia uzoefu wangu huo kuhakikisha
Tanzania inapiga hatua.
Inabidi tukubali kwamba, waTanzania wengi
tunapenda short-cut na kuharakisha mambo ili
tufanikiwe maishani. Mimi nipo kuhakikisha
tunafanya mambo kwa mwendo mzuri wenye
kujenga na si kulipua. Kwa watu waliokuwa
wanapakazia kijana ametumwa sembe, naomba
mujiheshimu. Mimi ni Mhandisi katika kampuni
kubwa tu na ninaridhika na ninachopata, sihitaji
short-cut na ninawahakikishieni mchezaji yoyote
ninayemchukua namweleza asikubali kutumika
kwa vitu vya kijinga namna hiyo.
Nawakaribisheni mtiririke na dukuduku zenu.
Ninachoweza kusema ni kwamba, kijana
ameshacheza mechi mbili (mechi ya kwanza siku
10 baada ya kufika hapa, na mechi ya pili
jumamosi iliyopita). Mechi ya kwanza alipewa
offer 2 tayari na mechi ya pili nasubiri feedback
kutoka scout wa Hispania aliyependezwa na
mchezaji. Kuhusu offer zilizopo, swali ni je, ili
tusonge mbele tunaangalia maendeleo ya
mchezaji na taifa la Tanzania au maendeleo ya
mchezaji na timu ya Simba au faida kwa Simba tu.
Karibuni,
Denis
P.S,
Nimeamua nije hapa kwasababu naona kuna watu
wanatoa habari magazetini ambazo sio za kweli na
zinanifanya mimi nionekane ni mbabaishaji.
Nimeongea mara moja tu na mwandishi Saleh
Ally wa Championi baada ya yeye kunipigia simu
(infact alinibeep, mi nikapiga simu nikakutana na
maswali)...yaani nimechajiwa mimi kwa interview
ambayo sikuomba.
Pili Mtangazaji mmoja wa redio ile ya Lady Jay
Dee alinipigia simu. Yule jamaa nilimwambia
asinirekodi lakini akafanya hivyo akarusha habari.
Alirusha habari kiuchochezi maana niliongea nae
dakika 11 lakini akachagua acheze kipande
kitakachomfaa yeye. Kama angeamua kucheza
interview yote, mngeona jinsi alivyo mnafiki.
Huyu ni mtu aliyeniahidi kunipatia video za
wachezaji mbalimbali ninaowafuatilia Tanzania.
Hakufanya hivyo. Alinipigia simu siku hiyo akiwa
hajui kwamba mimi ndio nilimwomba hizo video
miezi michache kabla.
Naomba pia niwaambie kwamba sijawahi kusema
kijana anaenda kucheza FC Twente wala sikutaja
timu yoyote ile wakati nawaomba Simba ruhusa
wala Taifa Stars. Lakini kijana kaonekana na
mascout wamemuona, na nimehakikisha
anaonekana sababu najua ninachofanya. Sina
haja ya kuongea na gazeti lolote sababu sitaki
hiyo publicity na kwasabu mimi ni mtendaji na si
muongeaji.
maswali yoyote kuhusu suala la mchezaji
Shomari Kapombe aliye chini ya mwongozo
wangu. Nimeamua nifanye hivi baada ya kuona
magazeti ya Tanzania yakipotosha mambo
mbalimbali kuhusu kijana huyu, mimi mwenyewe
na nini mipango yake. Pia naelewa waTanzania
wanashauku ya kujua mchezaji anaendelea vipi.
Ni muhimu muelewe kwamba, kama siwezi kujibu
swali ni kwasababu aidha inabidi niwe
nimeshawataarifu Simba kwanza (kama wamiliki
wa mchezaji) au ni kwamba tu siwezi kujibu hilo
swali, na ikiwa hivyo nitatoa sababu.
Naomba pia muelewe kwamba mimi nimeishi
huku miaka mingi (Uholanzi na Uingereza),
nimecheza mpira na ninaelewa mahitaji yake,
kwahiyo nimejipanga vizuri sana kumweka
mchezaji yoyote yule katika mazingira mazuri ili
afanikiwe. Ninafanya kazi na watu wanaojua kazi
zao. Ninafanya yote haya nikiwa na ufahamu wa
vikwazo nilivyopitia mimi kutokana na kutokuwa
na mwongozo mzuri na kushindwa kufanikiwa
kama mcheza mpira katika ngazi za juu.
Ninatumia uzoefu wangu huo kuhakikisha
Tanzania inapiga hatua.
Inabidi tukubali kwamba, waTanzania wengi
tunapenda short-cut na kuharakisha mambo ili
tufanikiwe maishani. Mimi nipo kuhakikisha
tunafanya mambo kwa mwendo mzuri wenye
kujenga na si kulipua. Kwa watu waliokuwa
wanapakazia kijana ametumwa sembe, naomba
mujiheshimu. Mimi ni Mhandisi katika kampuni
kubwa tu na ninaridhika na ninachopata, sihitaji
short-cut na ninawahakikishieni mchezaji yoyote
ninayemchukua namweleza asikubali kutumika
kwa vitu vya kijinga namna hiyo.
Nawakaribisheni mtiririke na dukuduku zenu.
Ninachoweza kusema ni kwamba, kijana
ameshacheza mechi mbili (mechi ya kwanza siku
10 baada ya kufika hapa, na mechi ya pili
jumamosi iliyopita). Mechi ya kwanza alipewa
offer 2 tayari na mechi ya pili nasubiri feedback
kutoka scout wa Hispania aliyependezwa na
mchezaji. Kuhusu offer zilizopo, swali ni je, ili
tusonge mbele tunaangalia maendeleo ya
mchezaji na taifa la Tanzania au maendeleo ya
mchezaji na timu ya Simba au faida kwa Simba tu.
Karibuni,
Denis
P.S,
Nimeamua nije hapa kwasababu naona kuna watu
wanatoa habari magazetini ambazo sio za kweli na
zinanifanya mimi nionekane ni mbabaishaji.
Nimeongea mara moja tu na mwandishi Saleh
Ally wa Championi baada ya yeye kunipigia simu
(infact alinibeep, mi nikapiga simu nikakutana na
maswali)...yaani nimechajiwa mimi kwa interview
ambayo sikuomba.
Pili Mtangazaji mmoja wa redio ile ya Lady Jay
Dee alinipigia simu. Yule jamaa nilimwambia
asinirekodi lakini akafanya hivyo akarusha habari.
Alirusha habari kiuchochezi maana niliongea nae
dakika 11 lakini akachagua acheze kipande
kitakachomfaa yeye. Kama angeamua kucheza
interview yote, mngeona jinsi alivyo mnafiki.
Huyu ni mtu aliyeniahidi kunipatia video za
wachezaji mbalimbali ninaowafuatilia Tanzania.
Hakufanya hivyo. Alinipigia simu siku hiyo akiwa
hajui kwamba mimi ndio nilimwomba hizo video
miezi michache kabla.
Naomba pia niwaambie kwamba sijawahi kusema
kijana anaenda kucheza FC Twente wala sikutaja
timu yoyote ile wakati nawaomba Simba ruhusa
wala Taifa Stars. Lakini kijana kaonekana na
mascout wamemuona, na nimehakikisha
anaonekana sababu najua ninachofanya. Sina
haja ya kuongea na gazeti lolote sababu sitaki
hiyo publicity na kwasabu mimi ni mtendaji na si
muongeaji.
Subscribe to:
Posts (Atom)