Valdeci Sobrino Picanto ni mchungaji wa Brazil
ambaye mwaka huu alikamatwa kutokana na
kuwadanganya waumini wake kuwa uume wake
una maziwa ya baraka na hivyo kuwataka
waunyonye kupata baraka hizo.
Mchungaji huyo aliwadanganya waumini wake
kuwa roho mtakatifu alikuwa anaingia kwenye
uume wake na kutoka kwa njia ya maziwa yenye
upako.
Kwa mujibu wa mmoja wa waumini wa kanisa
lake, mchungaji huyo alikuwa akiwahuburia kuwa
Mungu angeingia kwa watu kupitia midomo yao.
“Alikuwa akitupeleka nyuma ya kanisa na
kutuambia tumnyonye mpaka pale Roho
Mtakatifu atakapotoka kwa njia ya
‘ejaculation’ (kufika kileleni).
Mchungaji huyo ambaye yupo jela alidai kuwa na
mpango wa kuwapa maziwa hayo ya baraka
wafungwa wenzie.
No comments:
Post a Comment