Wednesday, August 7, 2013

Real Madrid yaiua Chelsea,Ronaldo awachoma viwili

KIUNGO Frank Lampard alicheza kwa mara ya
kwanza majira haya ya joto, lakini alishindwa
kumzuia Cristiano Ronaldo kuinyanyasa Chelsea
jana.
Kabla ya mechi hiyo na Real Madrid mjini Miami,
kiungo huyo mkongwe alikosa mechi zote za
kujiandaa na msimu za klabu, Stamford Bridge
kutokana na kuwa majeruhi.
Lakini Lampard ameimarika na kuanza kazi tayari
kwa mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Hull
City, Agosti 18 baada ya kumaliza dakika 45 za
kwanza katika Fainali ya Mabingwa wa Kimataifa
wa Guinness.
Katika mechi hiyo, mabao mawili ya Ronaldo na
moja Marcelo, yalitosha kuitotesha timu ya Jose
Mourinho 3-1 dhidi ya timu yake ya zamani
ambayo kwa sasa inafundishwa na Carlo
Ancelotii.
Chelsea ilipata bao lake pekee kupitia kwa
Ramires.
Kikosi cha Real Madrid kilikuwa: Casillas,
Arbeloa, Pepe, Ramos, Marcelo, Modric, Khedira,
Isco, Ozil, Ronaldo na Benzema.
Chelsea: Cech, Ivanovic, Terry, Cahill, Cole,
Lampard, Van Ginkel, Ramires, Oscar, Hazard na
Lukaku

DUDU BAYA ATIWA MBARONI KWA KOSA LA KUCHOMA MOTO NYUMBA YA MSANII MWENZAKE

ANII wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudu
Baya’ ameswekwa rumande kwa kudaiwa kuchoma
nyumba ya baba wa msanii mwenzake ‘Geez
Mabovu’, Mashaka Mrisho.
Tukio hilo lilitokea Agosti 1, mwaka huu ambapo
mwenye nyumba sambamba na polisi
walimkamata Dudu Baya na mkewe Mariam kwa
madai ya kuchoma moto nyumba kwa makusudi
na kuwapeleka katika Kituo cha Polisi Oysterbay.
“Mkewe alitupia mkaa wa moto katika sofa,
likashika moto kabla majirani hawajanisaidia
kuuzima. Baada ya kuwauliza kulikoni
wakanitishia maisha ndipo nikawapeleka
polisi na kupewa RB namba OB/RB/13485/2013
na kuja kumkamata,” alisema Mashaka.
Dudu Baya alipotafutwa na mwandishi wetu,
alikiri kukamatwa na kuwekwa sero kwa saa sita
kabla ya kuwekewa dhamana na shemeji yake
aliyemtaja kwa jina la Vero.
“Vyumba vyake na vyangu haviingiliani kabisa,
tumetenganishwa na ukuta hivyo shutuma zake
hazina ukweli dhidi yetu ila naamini uchunguzi
wa polisi ndiyo utatoa majibu,” alisema Dudu
baya

Makala: Kwanini wanasoka wa Tanzania hawatoki kimapenzi na celebrities wa kike?

ZUNGUKA kumbi zote za disko.
Hautamuona mwanasoka yoyote wa Tanzania
amemshika kiuno mwanamke maarufu (celebrity)
katika
fani yoyote maarufu kuanzia, filamu,
muziki hadi siasa. Na sio hao tu,
wanasoka wa Tanzania wanaishi
dunia tofauti na wanawake wenye
hadhi za juu (high Personalities female) Wakati
David Beckham akihangaika na Victoria Adams ,
Cristiano Ronaldo akihangaika na mwanamitindo
wa
Kirusi, Irina Shayk, hali ni tofauti kwa mwanasoka
wa Tanzania. Ni nadra
kwenda katika klabu ya usiku
(Nightclub) na kumkuta Nadir Haroub ‘Cannavaro’
akiwa katika mtoko na
Mwanamitindo Flavian Matata. Unajua
kwa nini? Baada ya kazi ni wakati wa… (Photo
credit: kikuyumoja) Kuna sababu nne kubwa.
Kwanza ni
umaskini unaowakabili. Hawapo
katika kiwango cha kushindana
kifedha na mastaa wa fani nyingine
ndani ya nchi. Wakati mwanamuziki
Diamond anaweza kuingiza sh 30 milioni kwa
shoo za mwezi mmoja,
inamchukua Mrisho Ngassa miaka miwili ya
kusaini mkataba mpya ndipo
apate fedha hizo.
Wema Sepetu hawezi kwenda kwa
Mrisho Ngassa. Atakimbilia kwa
Diamond kwa sababu anajua
wanaweza kuagiza chochote wanachojisikia katika
hoteli yoyote ya
hadhi ya nyota tano bila ya hofu. Mwanadamu
anayesubiri shilingi 30
milioni baada ya misimu miwili ana
tofauti kubwa na mwanadamu
anayesubiri shilingi 30 milioni baada
ya wiki tatu. Kwa Ulaya na
kwingineko, hali ni tofauti. Wanasoka wameingia
katika soko la ushindani
wa kimaisha na wasanii na mastaa
wengine kutokana na mapato
makubwa wanayotapata ndani ya fani
zao, na katika matangazo ya biashara. David
Beckham, Kanye West na Tom Cruise wote
wanaweza kununua nyumba katika mtaa mmoja
wa
Beverly Hills, ni wazi kwamba wote
wapo katika nafasi sawa ya kutoka
kimapenzi na Kim Kardashian bila ya kujali kama
Kanye West amemuwahi. Lakini pia sababu ya pili
ya msingi
inayowanyima fursa wanasoka wetu
ni makuzi waliyopitia ambayo
yamewanyima fursa katika elimu na
tabia ya kujiamini katika maisha yao.
Wengi wao wamekosa uwezo wa kujiamini,
kujitawala kifikra na
kujiamulia mambo kwa uhuru.
Utaongea nini mezani na mrembo
anayejiamini huku akinywa Savannah
yake taratibu.
Wakati pesa likiwa tatizo la kimsingi, bado upeo
wa fikra kichwani ni tatizo
jingine linalokusumbua ukikaa na
mrembo aliyemaliza chuo kikuu au
IFM miaka sita iliyopita. Unahitaji kuwa
zaidi ya Jerry Tegete. Zaidi ya mabao,
una nini mezani. Pesa au elimu? Zaidi ya yote
haya. Wanasoka wa
Tanzania wametoka Ghetto. Ni
wachache waliotokea katika familia
zinazoeleweka kwa sababu mchezo
wa soka bado unabakia na taswira
kuwa ni mchezo wa kihuni na ni watu wa hali ya
chini.
Zao linatoka katika picha hii iliyopo
kuhusu soka, lazima litamtoa
mwanasoka ambaye kichwa chake
kwa asilimia nyingi kinafikiria uhuni
na kushindwa kujiamini katika fursa zilizopo.
Mwanasoka aliyetoka katika
familia isiyoeleweka hawezi kujipa
hadhi sawa na ya kujiamini mbele ya
Mwanamitindo anayefanya kazi zake
London, Paris, Milan na kwingineko na
ambaye amelelewa katika familia njema. Mpaka
wanasoka wa Tanzania
watakapoanza kutoka nje ya mipaka
yao na kuelimika nadhani watajipa
nafasi nzuri ya kuanza kutoka
kimapenzi na celebrities wa kike. Ni
kwa sababu wakiwa nje watakuwa kama wako
darasani huku
wakielimika na kujiongezea uwezo
mkubwa wa kujiamini. Nje, wanasoka
wanafundishwa jinsi
ya kujiamini, jinsi ya kuongea, jinsi ya
kujitawala na jinsi ya kujipenda. Na
zaidi ya yote watalalia paundi nyingi
na Dola ambazo zitajikuta zikiongea
zaidi kuliko midomo yao!

Makala: Kwanini wanasoka wa Tanzania hawatoki kimapenzi na celebrities wa kike?

ZUNGUKA kumbi zote za disko.
Hautamuona mwanasoka yoyote wa Tanzania
amemshika kiuno mwanamke maarufu (celebrity)
katika
fani yoyote maarufu kuanzia, filamu,
muziki hadi siasa. Na sio hao tu,
wanasoka wa Tanzania wanaishi
dunia tofauti na wanawake wenye
hadhi za juu (high Personalities female) Wakati
David Beckham akihangaika na Victoria Adams ,
Cristiano Ronaldo akihangaika na mwanamitindo
wa
Kirusi, Irina Shayk, hali ni tofauti kwa mwanasoka
wa Tanzania. Ni nadra
kwenda katika klabu ya usiku
(Nightclub) na kumkuta Nadir Haroub ‘Cannavaro’
akiwa katika mtoko na
Mwanamitindo Flavian Matata. Unajua
kwa nini? Baada ya kazi ni wakati wa… (Photo
credit: kikuyumoja) Kuna sababu nne kubwa.
Kwanza ni
umaskini unaowakabili. Hawapo
katika kiwango cha kushindana
kifedha na mastaa wa fani nyingine
ndani ya nchi. Wakati mwanamuziki
Diamond anaweza kuingiza sh 30 milioni kwa
shoo za mwezi mmoja,
inamchukua Mrisho Ngassa miaka miwili ya
kusaini mkataba mpya ndipo
apate fedha hizo.
Wema Sepetu hawezi kwenda kwa
Mrisho Ngassa. Atakimbilia kwa
Diamond kwa sababu anajua
wanaweza kuagiza chochote wanachojisikia katika
hoteli yoyote ya
hadhi ya nyota tano bila ya hofu. Mwanadamu
anayesubiri shilingi 30
milioni baada ya misimu miwili ana
tofauti kubwa na mwanadamu
anayesubiri shilingi 30 milioni baada
ya wiki tatu. Kwa Ulaya na
kwingineko, hali ni tofauti. Wanasoka wameingia
katika soko la ushindani
wa kimaisha na wasanii na mastaa
wengine kutokana na mapato
makubwa wanayotapata ndani ya fani
zao, na katika matangazo ya biashara. David
Beckham, Kanye West na Tom Cruise wote
wanaweza kununua nyumba katika mtaa mmoja
wa
Beverly Hills, ni wazi kwamba wote
wapo katika nafasi sawa ya kutoka
kimapenzi na Kim Kardashian bila ya kujali kama
Kanye West amemuwahi. Lakini pia sababu ya pili
ya msingi
inayowanyima fursa wanasoka wetu
ni makuzi waliyopitia ambayo
yamewanyima fursa katika elimu na
tabia ya kujiamini katika maisha yao.
Wengi wao wamekosa uwezo wa kujiamini,
kujitawala kifikra na
kujiamulia mambo kwa uhuru.
Utaongea nini mezani na mrembo
anayejiamini huku akinywa Savannah
yake taratibu.
Wakati pesa likiwa tatizo la kimsingi, bado upeo
wa fikra kichwani ni tatizo
jingine linalokusumbua ukikaa na
mrembo aliyemaliza chuo kikuu au
IFM miaka sita iliyopita. Unahitaji kuwa
zaidi ya Jerry Tegete. Zaidi ya mabao,
una nini mezani. Pesa au elimu? Zaidi ya yote
haya. Wanasoka wa
Tanzania wametoka Ghetto. Ni
wachache waliotokea katika familia
zinazoeleweka kwa sababu mchezo
wa soka bado unabakia na taswira
kuwa ni mchezo wa kihuni na ni watu wa hali ya
chini.
Zao linatoka katika picha hii iliyopo
kuhusu soka, lazima litamtoa
mwanasoka ambaye kichwa chake
kwa asilimia nyingi kinafikiria uhuni
na kushindwa kujiamini katika fursa zilizopo.
Mwanasoka aliyetoka katika
familia isiyoeleweka hawezi kujipa
hadhi sawa na ya kujiamini mbele ya
Mwanamitindo anayefanya kazi zake
London, Paris, Milan na kwingineko na
ambaye amelelewa katika familia njema. Mpaka
wanasoka wa Tanzania
watakapoanza kutoka nje ya mipaka
yao na kuelimika nadhani watajipa
nafasi nzuri ya kuanza kutoka
kimapenzi na celebrities wa kike. Ni
kwa sababu wakiwa nje watakuwa kama wako
darasani huku
wakielimika na kujiongezea uwezo
mkubwa wa kujiamini. Nje, wanasoka
wanafundishwa jinsi
ya kujiamini, jinsi ya kuongea, jinsi ya
kujitawala na jinsi ya kujipenda. Na
zaidi ya yote watalalia paundi nyingi
na Dola ambazo zitajikuta zikiongea
zaidi kuliko midomo yao!

Aliye mpiga Dr Ulimboka afutiwa kesi

MKURUGENZI wa Mashitaka nchini (DPP), Dk.
Eliezer Feleshi, amefuta kesi ya kuteka na kujaribu
kumuua Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari
nchini, Dk. Steven Ulimboka, iliyokuwa ikimkabili
raia wa Kenya, Joshua Mulundi, katika Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Hatua hiyo imeelezwa kuwa ni baada ya DPP
kuona hana haja ya kuendelea kumshitaki kwa
makosa hayo ambayo yalikuwa hayana dhamana.
Hati hiyo ya DPP iliwasilishwa chini ya kifungu
cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya
Jinai ya mwaka 2002 kwa niaba yake na Wakili
Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, jana
mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema.
Kweka aliiambia mahakama kuwa kesi hiyo ilikuja
kwa ajili ya kutajwa lakini upande wa Jamhuri
hauna nia tena ya kuendelea kumshitaki Mulundi
kwa kesi hiyo.
Hakimu Lema alikubaliana na hoja hiyo na
akamfutia kesi hiyo Mulundi ambaye yupo
gerezani tangu Julai 13, mwaka jana.
Hata hivyo muda mfupi baada ya Hakimu Lema
kumfutia kesi hiyo Mulundi, askari kanzu
walimkamata tena na kumfikisha kwa Hakimu
Mkazi, Alocye Katemana na kisha Wakili Kweka
akaiambia mahakama kuwa upande wa Jamhuri
umemfungulia kesi mpya ambayo itakuwa na
shitaka moja tu.
Mbele ya Hakimu Katema, wakili huyo alidai kuwa
Julai 3, mwaka jana, Mulundi katika Kituo cha
Polisi Oystebay alitoa taarifa za uongo kwa ofisa
wa polisi kuwa yeye na wenzake walikodiwa
kwenda kumteka na kumjeruhi Dk. Ulimboka,
jambo ambalo si kweli.
Alidai kosa hilo ni kinyume cha kifungu cha 122
cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002
na kuongeza kuwa upelelezi wa kesi hiyo mpya
umekamilika.
Wakili Kweka alidai licha ya kosa hilo kuwa na
dhamana kwa mujibu wa sheria, lakini upande wa
Jamhuri unaomba Mulundi asipewe dhamana kwa
ajili ya usalama wake.
Hakimu Katemana aliiahirisha kesi hiyo kwa
muda na kisha kuutaka upande wa Jamhuri uende
ukalete kwa maandishi hati ya kumfungia
dhamana mshitakiwa huyo.
Hata hivyo mshitakiwa huyo alikanusha shitaka
hilo na akaomba apewe dhamana kwani alikuwa
na wadhamini. Pia alidai amesota muda mrefu
gerezani bila kosa.
“Ninajua wanataka kunifungia dhamana makusudi
ili waweze kunyamazisha Bunge na umma
usiendelee kupiga kelele kuhusu tukio la kupigwa
na kuteswa kwa Dk. Ulimboka na kwa taarifa yenu
mkinipeleka tena gerezani naenda kuanza mgomo
…nimechoka kuonewa,” alidai Mulundi.
Hata hivyo kesi hiyo iliporudi tena mchana,
Wakili Kweka hakuweza kuja na hati ya kuzuia
dhamana, hali iliyosababisha Hakimu Katemana
kutoa masharti ya dhamana kwa mshitakiwa
huyo.
Hata hivyo mshitakiwa huyo jana alishindwa
kutimiza masharti hayo na Hakimu Katemana
aliahirisha kesi hiyo hadi Agosti 20, mwaka huu.
Katika kesi hiyo awali, Wakili wa Serikali, Ladslaus
Komanya, mbele ya Hakimu Agnes Mchome,
alidai kuwa Mulundi Juni 26, mwaka jana, akiwa
eneo la Leaders Club alimteka Dk. Ulimboka.
Katika shtaka la pili, Komanya alidai kuwa Juni
26, mwaka huu, akiwa katika eneo la Msitu wa
Mabwepande, Tegeta, Dar es Salaam, kinyume cha
sheria, mshtakiwa huyo alijaribu kumsababishia
kifo Dk. Ulimboka.

Mbunge Hamis Kigwangalla hatompa kurasin yake Lowassa 2015

Mbunge wa Nzega Hamis Kigwangalla amesema
hawezi kumpa kura yake Waziri Mkuu wa zamani
na Mbunge wa Monduli Mheshimiwa Edward
Lowassa endapo jina lake litajitokeza kama
mmoja ya wagombea urais, ni kauli ya
Kigwangalla akijibu swali aliloulizwa na
Mtangazaji Fina Mango katika kipindi cha
Makutano kuhusu vuguvugu la urais 2015
linaloendelea ndani ya CCM juu ya mgombea
urais ambapo Edward Lowassa ni kati ya
wanaotajwa sana kama wagombea hasa katika
mitandao ya kijamii.
“Sitompa kura Mheshimiwa Edward Lowassa kwa
sababu za msingi tu, kwamba ninakipenda chama
changu na nina hakika chama changu kikija na
mgombea kwenye uchaguzi mkuu 2015 ambaye
ana historia ya kuhusishwa na mambo machafu
kama yale ya Richmond, Dowans ambayo
unayasema, hapa tunaweza kupata tabu sana
kuomba kura kwa wananchi, lakini pia tutakuwa
tumewapa hoja wapinzani wetu ya kusema tunalea
ufisadi, tunaubembeleza ufisadi kwa mikono
miwili’ Kigwangalla
Kwenye sentensi nyingine Kigwangalla amesema
Tanzania aihitaji rais asiyeweza kusimamia ukweli
ambapo kuhusu ishu ya dowans amesema haoni
tatizo la mitambo hiyo isipokuwa uamuzi
uliotumika katika upatikanaji wake.
Kwenye hii interview, Kigwangalla alitangaza nia
ya kugombea urais mwaka 2025 na kusema 2015
anaona bado ni mapema kwake kwani anaamini
watanzania bado hawajamjua Hamis Kigwangalla
ni mtu wa aina gani.

Mchungaji Brazil awadanganya waumini wake uume wake una maziwa

Valdeci Sobrino Picanto ni mchungaji wa Brazil
ambaye mwaka huu alikamatwa kutokana na
kuwadanganya waumini wake kuwa uume wake
una maziwa ya baraka na hivyo kuwataka
waunyonye kupata baraka hizo.
Mchungaji huyo aliwadanganya waumini wake
kuwa roho mtakatifu alikuwa anaingia kwenye
uume wake na kutoka kwa njia ya maziwa yenye
upako.
Kwa mujibu wa mmoja wa waumini wa kanisa
lake, mchungaji huyo alikuwa akiwahuburia kuwa
Mungu angeingia kwa watu kupitia midomo yao.
“Alikuwa akitupeleka nyuma ya kanisa na
kutuambia tumnyonye mpaka pale Roho
Mtakatifu atakapotoka kwa njia ya
‘ejaculation’ (kufika kileleni).
Mchungaji huyo ambaye yupo jela alidai kuwa na
mpango wa kuwapa maziwa hayo ya baraka
wafungwa wenzie.

Wakala wa mchezaji Shomari Kapombe afunguka ukweli wote kuhusu maendeleo ya mchezaji huyo

Majibu kwa
maswali yoyote kuhusu suala la mchezaji
Shomari Kapombe aliye chini ya mwongozo
wangu. Nimeamua nifanye hivi baada ya kuona
magazeti ya Tanzania yakipotosha mambo
mbalimbali kuhusu kijana huyu, mimi mwenyewe
na nini mipango yake. Pia naelewa waTanzania
wanashauku ya kujua mchezaji anaendelea vipi.
Ni muhimu muelewe kwamba, kama siwezi kujibu
swali ni kwasababu aidha inabidi niwe
nimeshawataarifu Simba kwanza (kama wamiliki
wa mchezaji) au ni kwamba tu siwezi kujibu hilo
swali, na ikiwa hivyo nitatoa sababu.
Naomba pia muelewe kwamba mimi nimeishi
huku miaka mingi (Uholanzi na Uingereza),
nimecheza mpira na ninaelewa mahitaji yake,
kwahiyo nimejipanga vizuri sana kumweka
mchezaji yoyote yule katika mazingira mazuri ili
afanikiwe. Ninafanya kazi na watu wanaojua kazi
zao. Ninafanya yote haya nikiwa na ufahamu wa
vikwazo nilivyopitia mimi kutokana na kutokuwa
na mwongozo mzuri na kushindwa kufanikiwa
kama mcheza mpira katika ngazi za juu.
Ninatumia uzoefu wangu huo kuhakikisha
Tanzania inapiga hatua.
Inabidi tukubali kwamba, waTanzania wengi
tunapenda short-cut na kuharakisha mambo ili
tufanikiwe maishani. Mimi nipo kuhakikisha
tunafanya mambo kwa mwendo mzuri wenye
kujenga na si kulipua. Kwa watu waliokuwa
wanapakazia kijana ametumwa sembe, naomba
mujiheshimu. Mimi ni Mhandisi katika kampuni
kubwa tu na ninaridhika na ninachopata, sihitaji
short-cut na ninawahakikishieni mchezaji yoyote
ninayemchukua namweleza asikubali kutumika
kwa vitu vya kijinga namna hiyo.
Nawakaribisheni mtiririke na dukuduku zenu.
Ninachoweza kusema ni kwamba, kijana
ameshacheza mechi mbili (mechi ya kwanza siku
10 baada ya kufika hapa, na mechi ya pili
jumamosi iliyopita). Mechi ya kwanza alipewa
offer 2 tayari na mechi ya pili nasubiri feedback
kutoka scout wa Hispania aliyependezwa na
mchezaji. Kuhusu offer zilizopo, swali ni je, ili
tusonge mbele tunaangalia maendeleo ya
mchezaji na taifa la Tanzania au maendeleo ya
mchezaji na timu ya Simba au faida kwa Simba tu.
Karibuni,
Denis
P.S,
Nimeamua nije hapa kwasababu naona kuna watu
wanatoa habari magazetini ambazo sio za kweli na
zinanifanya mimi nionekane ni mbabaishaji.
Nimeongea mara moja tu na mwandishi Saleh
Ally wa Championi baada ya yeye kunipigia simu
(infact alinibeep, mi nikapiga simu nikakutana na
maswali)...yaani nimechajiwa mimi kwa interview
ambayo sikuomba.
Pili Mtangazaji mmoja wa redio ile ya Lady Jay
Dee alinipigia simu. Yule jamaa nilimwambia
asinirekodi lakini akafanya hivyo akarusha habari.
Alirusha habari kiuchochezi maana niliongea nae
dakika 11 lakini akachagua acheze kipande
kitakachomfaa yeye. Kama angeamua kucheza
interview yote, mngeona jinsi alivyo mnafiki.
Huyu ni mtu aliyeniahidi kunipatia video za
wachezaji mbalimbali ninaowafuatilia Tanzania.
Hakufanya hivyo. Alinipigia simu siku hiyo akiwa
hajui kwamba mimi ndio nilimwomba hizo video
miezi michache kabla.
Naomba pia niwaambie kwamba sijawahi kusema
kijana anaenda kucheza FC Twente wala sikutaja
timu yoyote ile wakati nawaomba Simba ruhusa
wala Taifa Stars. Lakini kijana kaonekana na
mascout wamemuona, na nimehakikisha
anaonekana sababu najua ninachofanya. Sina
haja ya kuongea na gazeti lolote sababu sitaki
hiyo publicity na kwasabu mimi ni mtendaji na si
muongeaji.

Wednesday, July 31, 2013

Punda abakwa na binadamu mpaka kufa

Punda mmoja huko Kenya katika jimbo la
Maragwa amepoteza maisha baada ya kubakwa na
wanaume wanne kwa zamu.
Wakisimulia tukio hilo, wanakijiji wa kijiji cha
kamahuha wanasema kabla ya tukio,
waliwashuhudia wanaume wanne wakimfunga
punda huyo miguu yake ya nyuma mtini.
Wanakijiji hao walipigwa na butwaa wasiamini
macho yao baada ya kumkuta Yule punda
asubuhi kafa pale mtini huku paketi kadhaa za
used condoms zikiwa zimetapakaa eneo la tukio.
Punda mmoja huko Kenya katika jimbo la
Maragwa amepoteza maisha baada ya kubakwa na
wanaume wanne kwa zamu.
Wakisimulia tukio hilo, wanakijiji wa kijiji cha
kamahuha wanasema kabla ya tukio,
waliwashuhudia wanaume wanne wakimfunga
punda huyo miguu yake ya nyuma mtini.
Wanakijiji hao walipigwa na butwaa wasiamini
macho yao baada ya kumkuta Yule punda
asubuhi kafa pale mtini huku paketi kadhaa za
used condoms zikiwa zimetapakaa eneo la tukio.

Inasemekana Wachaga wanafanya mtaji harusi za watoto wao


Jamani sasa hvi ukitaka kuoa jiandae kikamilifu
kwa sababu imekuwa ni mtaji na harambee kwa
familia ya mdada unayemuoa. Tena kama
unaenda kuoa Moshi ndo balaa na ujipange zaidi.
Sikashifu mtu jamani ila natoa mfano hai. Jamaa
yangu kaenda Marangu Moshi pale Mamba
Kisambo kwenda kuoa. Masharti aliyopewa ili
kukamilisha mahari aliambiwa aandae vitu
vifuatavyo ili aandaliwe na ndoa kabisa..
Vitu hivyo alivyoambiwa aandae ni; Salary slip ya
mwezi uliopita, leseni ya biashara, hati ya
nyumba, apeleke tv flat screen, rice cooker, seti
za vyombo vya jikoni, suti ya mzee, vitenge wax
doti 3, subwoofa, sofa, kitanda 6 by 6, mahari
milion 1, orodha ya ndugu zako atakaoish nao,
kabati ya vyombo, deck ya dvd na king'amuzi cha
tv.
Jamaa zangu mnaoenda kuoa Kilimanjaro
jipangeni kama mmewapenda wadada wa kule

Saturday, July 27, 2013

Njemba moja yang'atwa uume wake

NJEMBA mmoja ameonja joto ya jiwe na
kuhatarisha mchakato mzima wa kujiburudisha
na kiburudisho lafiki cha wanaume. Ni baada ya
nyoka kuuma uume wake wakati akijisaidia
chooni.
Hata hivyo nyoka huyo hakuwa na sumu hivyo
hakumletea madhara jamaa huyo mwenye umri
wa miaka 35 ambaye hakufahamika jina kutoka
mjini Haifa.
Madaktari wa Hospitali ya Rambam walikuwa
wakimtibu majeraha yake kutokana na maumivu
aliyokuwa nayo katika sehemu hiyo ya siri.
Akielezea mkasa huo jamaa huyo alisema akiwa
anajisaidia katika choo hicho ghafla akahisi
maumivu makali ambapo akiwa katika taharuki
alimuona mnyama akitambaa chini ya miguu
yake.
Madaktari waliomhudumia walisema kwa sasa
anaendelea vyema baada ya kupatiwa matibabu
hospitalini hapo ingawa bado anahisi maumivu
katika sehemu hizo.
Hata hivyo walisema bado kiungo hicho kitabakia
kuwa na alama kutokana na kuumwa huko.
¡°Mtu huyu ana bahati kwa kuwa nyoka aliyemuua
hakuwa na sumu na kama angekuwa na sumu
basi ingemsababishia hatari kubwa kwa vile
sehemu hiyo ya mwili ni nyeti,¡± alisema mmoja
wa madaktari.
Daktari huyo alisikika pia akisema endapo
angekuwa ameumwa na nyoka mwenye sumu kali
kama cobra hali ingeweza kuwa mbaya zaidi kwani
angeweza hata kupoteza maisha.

Samatta aingia Top ten ya Mastaa wa Africa wanaotakiwa ulaya


10.Eric Mathoho(23)
Before signing for Kaizer Chiefs there were
rumours that FC Twente of Holland,Hapoel Tel
Aviv of Israel were keeping taps on this 1.98 m
tall player.Now after playing for one of the biggest
club in SA and with a possible gold medal for the
championship and a handful call to the national
team,Interest from clubs in Europe big leagues
will grow even more.
09. Godfrey Oboabona(22)
This 1.86 m player,can play right and center back
position ,was on trial with Arsenal after the
National Cup which he won with Nigeria,plays for
Sunshines Stars in Nigerian League,was also a
target of Mamelodi Sundowns but the player is
not interested in playing again in Africa.
08. Andile Jali(23)
This Orlando Pirates midfield maestro,at 1.72m
tall,he might not be the tallest but have the heart
of the lion, according to his agent is attracting
interest from German clubs and English clubs.For
his sake and development I wish he sign for a
club there.
07.Dove Wome(21)
This Togolese is one of the best signing for Free
State Stars and the PSL this year,one of the regular
players for Togo national team,even at his tender
age of 21.With his agent based in France its just a
matter of time before he start playing in Ligue1.
06.Itumeleng Khune(25)
The South African number one is rumoured to be
monitored by couple of European clubs and
Arsenal being one of them,being South African he
is I don't see him moving abroad though.
05.Mbwana Samata(21)
Talk about a young striker who is slowly
becoming the magical player with top DR Congo
side TP Mazembe and the Tanzania national side,
Taifa Stars, and the name Mbwana Ally Samata
will be mentioned.The 21 years old is Tanzanian's
brightest star in ages,he is chased by clubs in
Belgium,France and Holland.
04.Mahatma Otto(21)
The 21 old of Ghana Premiership club Heart of
Oak is a target of many European
teams,Mamelodi Sundowns are also trying to
convince him to stay in Africa but they're
competing against Sunderland and Benfica of
Portugal where it is reported that he is doing
medicals.
03.Trescor Mputu(27)
Skysport report that the 27 years old is tracked by
Arsenal,Tottenham and Fulham and could be lost
to Mazembe during the next transfer window.
02.Sunday Mba(24)
This Enugu Rangers attaching midfield is one of
the hottest property in Africa,the scorer of the
semifinal and final winning goals for Nigeria at SA
AFCON 2013,he is sort after by number of clubs
in Germany and France
01.Stoppila Sunzu
He won two African Championship with TP
Mazembe and went on to play the final of World
Club Championship,and later won the African
Nation Cup with Zambia.in 2007 he help Zambia
qualify for the under 20 World
Championship,and was invited by Reading for
trial but failed to secure a work permit, He signed
a loan contract for Le Châteauroux in France in
September 2008 and after the end of the season
in 2009 he returned to Zanaco FC and signed by
TP Mazembe.Arsenal,Reading,Sunderland wanted
to sign the player but contractual dispute between
the player and Mazembe stopped the move.
Load Previo

Vitu usivyovijua kuhusu mwalimu J.K.Nyerere

1. Idd Amini - Alipoivamia Tz.... Mwalimu alitamka tutampiga nduli!.. Na kweli Idd Amini
alipigwa hadit akaikimbia Uganda....
2. Kolimba - Alipotamka CCM imepoteza Dira na
Mwelekeo... Mwalimu alimwita Dodoma
akamuuliza nani kakutuma useme hivyo?!.. Ndio
ukawa mwisho wa Kolimba!..
3. Samweli Sitta - Alipokuwa kiongozi wa serikali
ya wanafunzi UDSM aliongoza mgomo wa
wanafunzi wenzake kudai siagi na maziwa!...
Mwalimu aliibuka pale chuoni akamuuliza
Samweli Samweli kwenu mnakunywa maziwa
kweli?!.. Akamwambia lala chini, akamcharaza
bakora na mgomo ukaishia hapo hapo!...
4. Abdul Jumbe! - Alipotaka serikali tatu!.. Nyerere
alimuuliza moja kujumlisha moja ni ngapi?!..
Jumbe akajibu ni mbili!.. Nyerere akamwambia
kama ni mbili mbona unataka serikali tatu?!.. Huo
ndio ukawa mwisho wa Abdul Jumbe kuwa Rais
wa Zanzibar!..
5. John Samwel Malecela - Ni baada ya taarifa
kuzagaa kuwa amebadili dini na jina ili apate
kuungwa mkono na nchi za kiislamu kugombea
Urais mwaka 1995!.. Nyerere alimwambia wee
John wewe umeenda Arabuni mara moja
umebadilisha jina sasa unaitwa Jumanne!.
Ukienda mara ya pili si utabadilisha kabila?!...
Huo ukawa mwisho wa ndoto zake kuwa Rais wa
Tz !...
6. Edward Lowassa - Alipokodi ndege binafsi
ikampeleka hadi dodoma kwenye vikao vya
mchujo wa wagombea Urais kupitia CCM mwaka
1995 alimpa lift JK!.. Nyerere alimuuliza mmekuja
na Ndege dodoma pesa mmetoa wapi?!.. Jina la
Lowassa likakatwa kabla ya vikao vya mchujo!...
Natamani Nyerere angekuwepo sasa na mwaka
2015!!......

HISTORIA YA VITA YA KAGERA KUTOKA KWA MTU ALIYEPAMBANA

jana wkati naangalia TBC Kwenye sherehe za
Mashujaa zilizoongo zwa na Rais nilipatwa na
masikitiko makubwa sana hasa nilipouona ule
Mnara wa MASHUJAA wa vita vya kagera
Niliwakumbuka sana wapiganaji wenzangu
waliopoteza maisha yao wakiwa mstari wa mbele
wa mapambano ya kuuondoa Utawala wa Nduli
Idd-Amin wa Uganda.
Niliwakumbuka askari 25 waliokufa wakiwa
kwenye platoon yangu niliwakumbka mmoja
baada ya mwingine na nilisema MASHUJAA
TULIORUDI TUMERUDI KISHUJAA NA MASHUJAA
WALIOKUFA WAMEKUFA KISHUJAA LENGO NA NIA
YETU ILIKUWA NI MOJA TU KUILINDA HADHI YETU
YAANI NCHI YETU.
Tarehe 28-10-1978 nilikuwa kambini LUGARO
kikosi cha MMJ nilikuwa nimejipumzisha ghafla
likapigwa Baragumu na tulipoenda kusikiliza
tuliambiwa kuwa kuwa Idd-Amin kavamia huko
Kagera tukaamliwa kuchukua vitu vyetu na
kuvipeleka kwa STORE-KEEP vikiwa na majina
mimi nilichukua bage langu na kuliandika jina
langu na kulikabidhi kwa STORE-KEEPER.Na hapo
hapo tulianza kuchukua vifaa vya kivita kama vile
Combat mpya Bunduki SMG ya kwangu ilikuwa
NHN 66482612.
Jioni hiyo ya 28-10-1978 Tulichukuliwa na magari
ya Jeshi kwenda station ya Railway huko Dar-es-
salaam na tuliondoka usiku huo huo kuelekea
station ya ISAKA-Kahama.
Tulifika Station ya Railway ya Isaka 01-01-11-1978
Mchana tulikuta mabasi mengi sana ya kiraia
yametusubiri kwenda Vitani mimi na wenzangu
tulipanda Basi moja lilikuwa limeandikwa
LUPONDIJE lilikuwa na namba MZA 234
Tuliondoka hapo isaka saa 9 mchana kuelekea
Kahama mjini bahati mbaya sana Basi letu
lilipofika tu pale stand ya Kahama Msafara wa
magari yote ndo ulipoanza kuondoka na sisi
ilibidi tupitilize tu bila kupata chakula hapo na
kwa kufupisha habari nilifika kwenye uwanja wa
Mapambano 03-11-1978 Mchana
Nilipofika wakati nateremka Kwenye Basi mimi
niliitwa naMajor mmoja kuwa nichukue askari
wanne niende kwenye Landrover ya Jeshi ilikuwa
imefunikwa na turubai na nilifanya hivyo
nilipofungua nilikutana na Maiti za askari wetu
watatu waliolipuliwa na Bomu la kutupwa ilibidi
tuzishushe Maiti hizo na mimi ilikuwa mara
yangu ya kwanza kubeba Maiti katika Maisha
yangu Kwangu mimi niliona kama ni Uchuro
kwangu kufika tu Mstari wa mbele na kukutana na
Maiti kwangu mimi ilinipa taabu sana.
VITA VILIPOANZA
Baada ya plani ya vita kukamilika ndipo majeshi
yalipojipanga katika Brigade nne zikiongozwa na
Brigadier Kiwelu, Brigadier Mayunga, Brigadier
Marwa, na Brigadier Walden.
Msimamo wa vita ulikuwa umepangwa vizuri sana
na ulikuwa na MAKAMANDA wafuatao-
1. Brigadier Marwa waliingia Uganda kwa kupitia
mpaka na Rwanda na Zaire.
2. Brigadier Kiwelu alielekea Mbarara,
3. Brigadier Marwa alielekea Masaka
4. Brigadier Walden aliingia Uganda pia kwa
kupitia Rwanda na kuelekea Kasese
5. Brigadier Mayunga yeye alibaki upande wa
Tanzania ambapo brigade yake iligawanya katika
makundi mawili, kundi moja liingia maeneo ya
Mtukula kutokea Rwanda, , wakati kundi jingine
lilibaki pale pale mto Kagera lakini likiwa na
mizinga mizito (BM-40) kiasi cha kuweza kurushia
makombora hayo moja kwa moja hadi askari wa
Amini waliokuwa pale Mutukula. Ilichukua muda
wa karibu wiki tatu kwa plani ya vita kukamilika
na majeshi yetu kujipanga vile.
KIPIGO TOKA MAJESHI YA AMIN Baada ya majeshi
ya Amin kuchukua eneo la Mutukula,
walipandisha bendera ya Uganda na kubomoa lile
daraja la mto Kagera. Brigadier Yusuf Himid
ambaye alikuwa Brigade Commander wa Kanda ya
Magharibi wakati huo alituma Battalion moja
kujaribu kuvuka mto ule kwa kutumia mitumbwi
wakati wa usiku kusudi wakapambane na
wavamizi wale. Hata hivyo wakati platoon za
kwanza kwanza zinaanza kutekeleza amri hiyo,
wakaonekana na majeshi ya Amin ambayo
yalikuwa yamejikita kilimani; Askari wetu wale
walimiminiwa mizinga ambayo ilisababisha
hasara kubwa kwa askari. ..bahati mbaya sana
tulipigwa sana na majeshi ya amin na kupelekea
Majeshi yetu kurudi nyuma kujijenga upya na
kupelekea lile daraja kuvunjwa conteravertially
Bahati nzuri mimi na wenzangu tulikuwa
tumewahi kuvuka kwenye hilo Daraja na
Tulipojijenga upya kazi ilianza na ilikuwa ngumu
sana maana ilikuwa ni masika Mvua zilikuwa
zinanyesha sana sana kwa sababu mimi na
wenzangu tulikuwa askari wa Miguu Infrantry
haikutupa taabu tuliendelea kusonga mbele
kitendo hicho cha kurudishwa nyuma
kilisababisha Brigedier Yusuph Hamid
kuondolewa mstari wa mbele hivyo Brigade ya
magharibi ikawekwa mikononi mwa Colonel
(wakati huo) Kotta ambaye legacy yake kama
kamanda shupavu pamoja na vijana aliopigana
nao bega kwa bega na wote wakiwemo
makamanda ,maafisa na askari waliokomboa
afrika ..kama mnavyojua role ya jeshi letu kivita
angola,msumbiji,namibia,comoro ets...kwa
waliopo na waliotangulia mbele za haki.....
baada ya kile kipigo bregedia Yusuph Hamid
aliondolewa from front line kama ilivyokawaida
ya war plans...maana kamanda aliyepigwa
hulazimika kupumzishwa kwanza ili atafakari wapi
wapi alikosea.
Pale Ngome, kamanda aliyepanga vita ile yote
alikuwa ni Colonel Lupogo Baada ya plani ya vita
kukamilika ndipo majeshi yalipojipanga katika
Brigade nne zikiongozwa na Brigadier Kiwelu,
Brigadier Mayunga, Brigadier Marwa, na Brigadier
Walden.
Kipindi hicho mimi nilikuwa na ki-radio kidogo
cha mfukoni niliweza kusikiliza Radio Ujeruman
na Radio nyingi tu kila zilipokuwa zinatangaza
kutadhimini uwezo wetu wa kivita na uwezo wa
Majeshi ya Amini ilionekana wazi kuwa Maeshi ya
Amini yalikuwa Bora na zana Bora kuliko zetu kwa
upande wa vifaru sisi tulikuwa na T 34 vya
kizamani sana na Uganda vifaru walikuwa navyo T
55 Kwa wakati huo walikuwa navyo Bora sana
kuliko sisi.Pia Amini alisikika kwenye vyombo vya
habari akishangilia kuwa jeshi lake limeweka
rekodi kwa kuteka Mtukula kwa muda wa dakika
25 tu.
VITA VYAANZA RASMI FRONTLINE Baada ya
mejeshi yetu kujipanga ndipo filimbi ilipopigwa
na Brigadier Kiwelu akarusha risasi ya kwanza
dhidi ya Barracks moja ya Amin iliyokuwa pale
Mbarara. Brigadier Marwa naye akawarushia
risasi (ya kuwambia kuwa kazi imeanza) wale
askari wa Amini walikuwa pale Mutukula.
Brigadier Mayunga naye akadonoa kidogo kutokea
Magharibi, harafu akatumia ujumbe mwingine wa
BM-40 kutokea Kagera. Askari hao wa Amin
waliokuwa pale Mutukula (Simba Battalion)
walipoona wanapata kipigo kutoka pande zote
wakaomba msaada kutoka Mbarara, hata hivyo
wakaambiwa kuwa ile Battalion ya Mbarara nayo
ilikuwa imeelemewa na kipigo cha Kiwelu, ndipo
wakaomba msaada utokee Entebbe. Ile Battalion
iliyoletwa kutokea Entebbe ikakutana na kizingiti
pale....itaendelea

Mkenya aenda ICJ kupinga mateso ya Yesu


The International Court of Justice (ICJ) in The
Hague has constituted a panel to hear a case
filed by a Kenyan man residing in Nairobi
challenging the unfair trial, sentencing,
punishment and death of Jesus Christ.
Dola Indidis, a lawyer and former spokesman of
the Kenyan Judiciary, first filed the unprecedented
case in the High Court in Nairobi on behalf of the
‘Friends of Jesus’ in August 2007 (Republic of
Kenya Constitutional Petition No. 965 of 2007).
The court said it had no jurisdiction, prompting
Indidis to seek international justice at the
Netherlands-based court in 2011.
“The court has communicated to me. I am now
waiting for the date of hearing,” Indidis told
Kenyan Media.
Dola Indidis says Jesus Christ’s rights were
violated
There has been no trial or execution in history
that has had such a huge impact, especially in
Christianity, as that of Jesus of Narazeth in Roman
occupied Jerusalem over 2,000 years ago.
“I filed the case because it’s my duty to uphold
the dignity of Jesus and I have gone to the ICJ to
seek justice for the man from Nazareth,” said
Indidis, who is also a former police
spokesperson. “His selective and malicious
prosecution violated his human rights through
judicial misconduct, abuse of office bias and
prejudice.”
Indidis moved to the ICJ in The Hague to have the
conviction and sentencing of Jesus Christ
quashed arguing that he was “Convinced that
Pontius Pilate erred in law by convicting and
sentencing Jesus Christ while acknowledging his
own lack of jurisdiction and the accused’s
innocence.”
The case was first filed under sections 65 and 67
of the constitution of Kenya (now repealed). The
petitioner was ‘Friends of Jesus’ through Dola
Indidis suing Tiberius (Emperor of Rome 42
BC-37AD), Pontius Pilate (Governor of Judea),
Annas, Jewish Chief Priest, Jewish elders, Jewish
teachers of the law, King Herod, The Republic of
Italy and The State of Israel.
The Kenya Civil Liberties Union was listed as an
Amicus Curie while Humprey Odanga Achala was
an interested party.
The petitioners named the states of Italy and
Israel in the suit because upon the attainment of
independence, the states incorporated the laws of
the Roman Empire and those in force at the time
of the Crucifixion.
Jewish Chief Priest Caiaphas is accused of
arresting Jesus, trying him in a kangaroo court
and convicting him on a religious charge that
carried the death penalty because he did not want
Jesus to challenge his authority, especially not at
Passover time.
Pilate, the Governor of Judea, found Jesus not
guilty, but had him executed in order to keep the
peace.
“It was wrong for Pilate to witness the accused
being beaten,” Indidis says. “A judge must stand
above all people and all forms of irregularities.”
Dola says he filed the case because it’s his duty
to uphold the dignity of Jesus Christ
The petitioner challenged the mode of
questioning used during the trial, prosecution,
hearing and sentencing of Jesus Christ; the form
of punishment meted out on Him while
undergoing judicial proceedings and the
substance of the information used to convict
him.
Indidis wants to establish what crime Jesus was
charged with and prays that the court declares
“that the proceedings before the Roman courts
were a nullity in law for they did not conform to
the rule of law at the material time and any time
thereafter.”
He says: “Some of those present spat in his face,
struck him with their fists, slapped him, taunted
him, and pronounced him worthy of death.”
Asked if this is a frivolous case pursued by a
zealot, Indidis told The Nairobian: “This case is
not about fanaticism. It’s a case of law and it’s the
duty of counsel to help in the development of
law.”
The lawyer says the petitioners are relying on the
precedence of the case of Joan of Ark, the peasant
girl who proclaimed herself the virgin warrior
sent by God to deliver France from her enemies
the English, whose trial was later on reversed.
“This is the same case with Jesus,” Indidis
explains. “The judge who sentenced him said that
he had no jurisdiction to attend to the matter but
he went ahead to convict and pass a capital
sentence under duress.
He adds that the judgement meted was not even
right because under the Galilean law the sentence
of blasphemy was stoning to death, but Jesus was
crucified — a punishment that was under the
Roman law.
“Blasphemy against the God of Jews was not even
a crime under Roman law. The judge passed the
wrong sentence,” he says.
Who was responsible? Was it an execution or a
judicial murder?
The lawyer, who delved into politics in the last
General Election, says that he researched for over
10 years before filing the case in court.
“My research was not misguided or emotional. It
was purely academic,” he says. “I know that I
have a strong case and I hope to see justice done
while I am alive.”